#MEZAHURU”….hatua amezieleza Mheshimiwa Waziri na tumeshaanza kuzitekeleza pamoja na ujenzi wa miundombinu kwa mfano tunazungumza hili bwawa la Kidunda alilosema lina uwezo mkubwa wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi….Bwawa la Kidunda unavyoweza kuliangalia kimsingi litanufaisha mikoa mitatu kuanzia mkoa wa Morogoro, mkoa wa Pwani vilevile Mkoa wa Dar es Salaam…..”-Afisa Mtendaji Mkuu DAWASA – Mha. Mkama Bwire.
Powered by #MCHEZOSUPA
JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
–
Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M – Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
#Follow @itvtz @radioonetanzania.