Tanzania: Maafisa uhamiaji watatu wahukumiwa kunyongwa kwa kusababisha kifo

Hukumu hiyo imetolewa Desemba 15, 2025, na Jaji Augustine Rwizile, ambapo amesema kuwa ushahidi uliowasilishwa mahakamani hapo umethibitisha pasi na kuacha shaka kuwa maafisa hao watatu walimuua Enos, kwa kumtuhumu kuwa si raia wa Tanzania.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *