https://p.dw.com/p/55YdG

Ujerumani imeonya kuhusu hatua zozote zinazohatarisha amani na usalama wa kikanda.
Msemaji huyo amesema nia ya Ujerumani ni kuzuwia hali kuwa mbaya zaidi.
Awali Venezuela ilituma malalamiko yake rasmi kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya kile ilichokiita “wizi” wa Marekani iliyodai imeiteka meli yake ya mafuta kwenye Bahari ya Karibiani wiki iliyopita.
