Unamjua Jully Taxi? Huyu hapa staa kutoka Mwanza ambaye alitamba kwa sauti na kipaji adhwimu cha uigizaji. Alama zake ni nyingi pengine SARADINI unaikumbuka zaidi.

Tuko naye usiku wa leo kupitia #Alama ya #SinemaZetuHD ikisimamiwa na mtangazaji hodari @sophiamgaz

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *