
Nigeria yafungua upya shule 47 za serikali zilizofungwa kufuatia utekaji wa wanafunzi
Katika miezi ya hivi karibuni, vikundi vya wanamgambo vimekuwa vikilenga shule za bweni, wakiteka wanafunzi na wafanyakazi, wakati mwingine kwa ajili ya fidia, na kusababisha kukatizwa kwa masomo.