Nusu fainali ya pili EA Super Cup inapigwa leo Ijumaa

Saa 4:00 usiku, Bologna kumenyana na Inter Milan.

Mechi hii itaruka mbashara kupitia AzamSports3HD, na kutangazwa kwa lugha ya Kiswahili.

Je, ni Bologna ama Inter nani kuungana na Napoli kwenye hatua ya fainali?

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu.

#Bologna #InterMilan #EASuperCup

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *