Kisa mashabiki, Mlandege yatozwa faini Sh1 milioni

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege, imetozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la mashabiki wa timu hiyo kufanya vurugu kwa kurusha chupa uwanjani wakati mechi ikiendelea.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *