Mali na Zambia wanamenyana Desemba 22 kwa mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya AFCON 2025 katika Uwanja wa Mohammed V huko Casablanca. Mechi imeanza saa  mchana (UTC), na mechi itarushwa moja kwa moja kwenye RFI.

Imechapishwa:

Dakika 1 Wakati wa kusoma

Matangazo ya kibiashara

Kipindi cha kwanza cha mchezo kimemalizika, huku timu zote mbili zikitoka sare ya bila kufungana.

Jana Jumapili Disemba 21, Morocco waliwaburuza Comoro  kwa mabao 2-0 katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya AFCON 2025.

Fuatilia mechi hii hadi dakika ya mwisho, tutakujuza mengi…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *