Waziri Mkuu wa Sudan, Kamil Idris ameliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) kusimama na serikali ya nchi hiyo ili kusaidia kumaliza vita vinavyoendelea kati ya majeshi ya serikali na wanamgambo wa RSF.
Mhariri @moseskwindi
Waziri Mkuu wa Sudan, Kamil Idris ameliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) kusimama na serikali ya nchi hiyo ili kusaidia kumaliza vita vinavyoendelea kati ya majeshi ya serikali na wanamgambo wa RSF.
Mhariri @moseskwindi