24 Desemba 2025

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameilaumu Hamas kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza. Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV ametoa wito kwa “watu wenye nia njema” kusitisha mapigano kwa saa 24 katika maeneo yote ya vita duniani wakati wa sherehe za Krisimasi. Urusi kuwasilisha majibu yake kwa mpango wa amani wa Ukraine.

https://p.dw.com/p/55w4v

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *