‎#HABARI: Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekanusha taarifa zilizokuwa zimesambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa ina mpango wa kuagiza vifaranga vya kuku kutoka nje ya nchi.

‎Tamko hilo limetolewa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta za Mifugo na Uvuvi uliofanyika Jijini Mwanza.

‎Balozi Dkt. Bashiru amewataka wafugaji wa kuku kusubiri mkakati uliopangwa na Serikali ambao unalenga kulinda masoko na mitaji yao.

‎Powered by #MCHEZOSUPA


‎JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
‎-
‎Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M – Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.

‎#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
‎#Follow @itvtz @radioonetanzania
‎@capitaldigitaltanzania.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *