#HABARI: Mji wa Auckland umeukaribisha mwaka mpya kwa onesho la fataki lililofanyika juu ya jengo refu zaidi nchini New Zealand, Sky Tower. Onesho hilo limeashiria mwanzo wa mwaka mpya kwa maelfu ya wakazi na wageni waliokusanyika kushuhudia tukio hilo.

Powered by #MCHEZOSUPA

JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:

Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M – Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
Follow @itvtz @radioonetanzania
@capitaldigitaltanzania.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *