Misri si miongoni mwa timu zinazotarajiwa kushinda AFCON, anasema Salah

Mshambuliaji wa Misri Mohamed Salah amesema timu yake haipo miongoni mwa timu zinazopigiwa upatu kushinda Kombe la AFCON, lakini amesisitiza kuwa watapambana kwa nguvu zote ili kufika hatua za juu zaidi za mashindano hayo yanayofanika Morocco.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *