
Viwanja vya AFCON 2025 Morocco
Baada ya AFCON ya Morocco wanaopokea kijiti ni Afrika Mashariki ambao ndio watakuwa wenyeji wa AFCON 2027. Nchi hizo ni Kenya, Tanzania na Uganda.
tokea siku moja
Morocco ambao pia ni wenyeji wenza wa Kombe la Dunia 2030 wametumia mashindano ya AFCON kama sehemu ya maandalizi mazuri kuelekea huko.
Nchi hii inatumia viwanja 9 kwenye michezo ya mwaka huu, baadhi yao ikiwa vimekarabatiwa na kuongezwa idadi ya mashabiki katika miji mbalimbali.