Bobi Wine kutathmini mikataba ya mafuta iwapo atachaguliwa kuwa rais Uganda

Mgombea wa urais wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema kuwa iwapo atapata ridhaa wa wananchi ya kuliongoza taifa hilo, basi atapitia upya mikataba ya mafuta ya nchi hiyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *