Marekani yasitisha msaada kwa serikali ya Somalia kufuatia madai ya wizi wa misaada ya chakula

Serikali ya Trump imeishutumu serikali ya Somalia kwa kuharibu ghala la shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) lililokuwa na misaada ya chakula iliyofadhiliwa na Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *