Mshambuliaji wa Algeria awaomba radhi mashabiki wa DRC

Mshambuliaji wa Algeria, Mohamed Amoura, ameomba radhi kufuatia ishara tata aliyoifanya wakati wa kusherehekea ushindi wa timu yake dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *