
Kenya inalenga kubadilisha machimbo makubwa ya zamani ya madini kuwa ardhi ya kilimo
Ripoti mpya iliyozinduliwa na Waziri wa Madini na Uchumi wa Bluu, inasema nchi inatathmini jinsi ardhi iliyotumika hapo awali kuchimba madini inavyoweza kurekebishwa na kutumika tena kwa manufaa ya kijamii, kiuchumi na kimazingira kwa kuwa uchimbaji