DW Kiswahili10.01.202610 Januari 2026 Umoja wa Mataifa wasema wakimbizi 53 wa Kongo wamefariki nchini Burundi+++Serikali ya Iran yaendelea kuzima intaneti+++Zaidi ya watu 150,000 wayakimbia makazi yao kaskazini mwa Syria kufuatia vurugu+++Nigeria na Algeria kukipiga muda mchache ujao. https://p.dw.com/p/56cqh Post navigation Uturuki inatarajia YPG itaheshimu makubaliano ya Machi 10 Syria: Waziri wa Mambo ya Nje Fidan Sababu 5 za kutazama siku zijazo kwa matumaini