14.01.2026 Taarifa ya Habari ya Asubuhi14.01.2026 Taarifa ya Habari ya Asubuhi
DIRA.BZ14 Januari 2026

Iran yasema Marekani inatafuta ‘kisingizio cha kuingilia kati kijeshi’. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky akiri hali ni ngumu nchini Ukraine. Na viongozi wa Denmark na Greenland waungana kupinga wito wa rais Donald Trump kutaka kulitwaa eneo la Greenland.

https://p.dw.com/p/56mJk

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *