Maadhimisho wiki huduma za fedha kitaifa kufanyika TangaMaadhimisho wiki huduma za fedha kitaifa kufanyika Tanga

Maadhimisho ya wiki ya huduma za fedha kitaifa yanatarajiwa kufanyika jijini Tanga Januari 19 hadi 26, 2026.

Kwa mujibu wa Wizara ya Fedha, kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni ” Elimu ya Fedha, Msingi wa maendeleo ya Kijamii na Kiuchumi.”

Mgeni rasmi wa maadhimisho hayo yatakayofanyika viwanja vya Usagara anatarajiwa kuwa Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *