Mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Songwe zimesababisha kupungua kwa kasi ya ujenzi wa barabara ya Ruanda–Idiwili, inayojengwa kwa kiwango cha lami kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 40.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
(Feed generated with FetchRSS)