Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya amewapongeza makandarasi na wasimamizi wa ujenzi wa barabara na madaraja katika mikoa ya Geita na Shinyanga kwa kuzingatia kasi na ubora.
Amesema Serikali imedhamiria kuwawezesha makandarasi na wasimamizi wa miradi ya ujenzi wazawa ili kuwajenge uwezo,ujuzi,uzoefu na kukuza ajira nchini.
(Feed generated with FetchRSS)