Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amebainisha mikakati ya muda mfupi inayotekelezwa na Serikali ili kupunguza changamoto ya foleni katika barabara ya Kibaha–Chalinze hadi Morogoro.

Ulega amesema hayo leo tarehe 28, Januari 2026 Bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Pwani Mhe. Hawa Mchafu aliyehoji hatua zilizofikiwa katika ujenzi wa barabara ya njia nane pamoja na mikakati ya muda mfupi ya kuondoa foleni katika barabara hiyo.

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *