Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imeiondolea vikwazo Guinea, kufuatia mapinduzi ya mwaka 2021.

Uamuzi wa ECOWAS, unafuatia kikao cha wakuu wa nchi za jumuiya hiyo, uliofanyika jijini Freetown, nchini Sierra Leone.

Kulingana na ECOWAS, uchaguzi wa rais uliofanyika nchini Guinea mwezi Disemba mwaka jana, na makabidhiano halali ya madaraka kwa Rais Mamadi Doumbouya, yaliweka mazingira rafiki ya kurejesha utawala wa sheria nchini humo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *