Urusi na Ukraine zimekamilisha makabidhiano ya wanajeshi waliouwawa vitani, ikiwa ni sehemu ya makubaliano kati ya nchi hizo, yaliyofikiwa mwaka huu jijini Istanbul.

Katika taarifa kupitia jukwaa la Telegram, mpambe wa rais wa Urusi, Vladimir Medinsky alisema kuwa jumla ya miili 1,000 ya wanajeshi hao ilipelekwa Ukraine, huku miili mingine 38, ikikabidhiwa Urusi.

“Kupitia makubaliano yetu ya Istanbul, miili ya askari 1,000 imepelekwa Ukraine. Miili mingine ya wanajeshi 38, ikipelekwa nchini Urusi,” alisema.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *