Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjumbe huyo ameandika amerejea Miami, bila ya maelezo ya kina na kuweka alama ya njiwa wa amani. Katika mikutano ya awali, Dmitriev amekuwa akijadiliana na mjumbe wa Marekani, Steve Witkoff. Mazungumzo hayo mjini Abu Dhabi, ambayo yalianza tena wiki iliyopita baada ya kusimama kwa muda mrefu, yanakusudia kuchunguza uwezekano wa kupatikana njia ya kumaliza vita vya Ukraine.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *