“Uhifadhi huu si kwa ajili ya serikali, kama ambavyo mmesema tumerithishwa…tuwarithishe, hili ni jambo la kila Mtanzania, tushirikishane njia bora za kuendeleza uhifadhi huu ni urithi”Mhe.Mwigulu Nchemba – Waziri Mkuu wa Tanzania

Ameeleza haya wakati wa hafla ya utoaji tuzo za Kitaifa za Uhifadhi na Mazingira (The Serengeti Awards) Jijini Arusha, hafla inayowakutanisha wadau mbalimbali wa utalii na uhifadhi.

‎Powered by #MCHEZOSUPA


‎JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
‎-
‎Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M – Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.

‎#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
‎Follow @itvtz @radioonetanzania
‎@capitaldigitaltanzania.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *