Hata hivyo, kwa upande wake, Waziri wa michezo wa Ukraine, Matvii Bidnyi ameielezea kauli ya Infantino kuwa imekosa uwajibikaji.
Timu za taifa za Urusi zilisimamishwa kushiriki michuano iliyoandaliwa na FIFA na UEFA, mwezi Februari 2022, baada ya taifa hilo kuivamia Ukraine.