ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Tazama shangwe la KMC FC baada ya kuzinyakua alama zote tatu mbele ya Mashujaa FC, katika mchezo wa NBC Premier League uliopigwa jana katika dimba la Majaliwa Ruangwa Lindi.

Ni #Zilizobamba mitandaoni kupitia kipindi cha #Viwanjani

#Viwanjani #Zilizobamba

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *