Josephat Charo

5 Februari 2026

Ukraine yasema mazungumzo na Urusi na Marekani yanayoendelea Abu Dhabi ni ya tija. Iran na Marekani kufanya mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia nchini Oman. Na Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz yuko mjini Riyadh, Saudi Arabia, katika ziara yake ya kwanza eneo la Ghuba.

https://p.dw.com/p/586D3

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *