KUTOKA MOROCCO: Meneja habari na mawasiliano wa Yanga SC amefunguka sababu za nyota wao mpya Buba Jammeh kutokuungana na timu nchini Morocco.
Kamwe ametoa ratiba ya mchezaji huyo namna atakavyofika Dar es Salaam kuungana na timu itakaporejea.
#CAFCL #LigiYaMabingwaAfrika