“Tuliliahidi taifa letu kuwa tutaendelea kuwa na kumbukumbu zao mioyoni na akilini mwetu, kulinda yale waliyotuachia na kuirudisha upya miji yetu. Leo hii, kwa msaada wa Mungu, tumevuka changamoto hii na kuifufua miji yeti ndani ya muda mfupi katika kipindi cha miaka mitatu. Tumetimiza ahadi yetu.”

Ujumbe huo wa Erdogan uliambatana na picha mjongeo yenye kuonesha ukubwa wa athari za tetemeko hilo na hatua za ujenzi zilizofanyika.

Februari 6, 2023, tetemeko lililotokea katikati ya Kahramanmaras, lilisababisha athari kubwa kusini mwa Uturuki, ikiwemo vifo vya maelfu ya watu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *