ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Ule uhondo wa mchezo wa #Vishada siu yake imewadia.
Timu ya #AzamTV ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuelekea #ZanzibarCupKaskazi2026 ikiwa ni msimu wa tano.
Mashindano haya yanahusisha michezo miwili Free Style (Mitindo Huru) na Regatta ambayo ni Racing, saa 9:00 alasiri kipute kitaanza Pwani ya kiwengwa Zanzibar.
Kila kitu kitakuwa LIVE #AzamSports3HD
#ZanzibarCupKaskazi2026