Wajasiriamali wadogo nchini wanatarajiwa kunufaika na huduma mpya ya #PayLikeALocal inayowezeshwa na #AzamPesa kupitia kufanya malipo kimtandao kwa #AzamPesa kulipia bidhaa kwenye maduka, barabarani na maeneo mbalimbali bila kulazimika kubadilisha fedha za kigeni kuwa Shilingi za Tanzania.

Naibu Waziri wa Maliaasili na Utalii, Hamad Chande amepongeza ubunifu wa #AzamPesa katika kufanikisha huduma hiyo na kuwaongezea fursa wajasiriamali wadogo kuwa sehemu ya mafanikio hayo.

Mhariri @moseskwindi

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *