Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amemuhakikishia Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) kuwa Wizara ya Maji haitakuwa kikwazo katika utekelezaji wa Mradi wa Maji kwa kutumia chanzo cha Ziwa Chala na ndani ya siku 14 watakuwa wamekamilisha mchakato wa kumpata mkandarasi wa ujenzi wa mradi huo.

Ahadi hiyo imetolewa kufuatia agizo la Waziri Mkuu Dkt. Nchemba alilolitoa wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Marangu–Kitowo, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro.

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *