#KariakooDerby: Mtangazaji wa soka @ngodaalwatan amzuia Sauti ya Radi @baraka_mpenja ambaye alitaka kujitosa katikati ya Bahari ya Hindi akitaka kuonesha umwamba wake wa kuogelea.
Unadhani Ngoda kaona nini?

Ni hekaheka kuelekea #KariakooDerby

‘Mbungi’ yenyewe ni Machi Mosi pale New Amaan Complex, Zanzibar na itakuwa LIVE #AzamSports1HD

Ujue hii #Haikwepeki

#KariakooDerby DabiYaKariakoo YangaSC SimbaSC NewAmaanComplex Zanzibar

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *