KUMBUKUMBU ZA WATANI | Jikumbushe kidogo kilichotokea tarehe 20/04/2024, Simba walipokufa 2-1 kwenye Kariakoo Derby.

Je, ni wachezaji gani waliokuwepo siku hiyo ambao unatamani wangekuwepo kwenye derby ijayo ya tarehe 01/03/2026?

NB: Vita ya Chama vs Diarra iko palepale

Hii #Haikwepeki

#NBCPremierLeague #NBCPL #KariakooDerby #YangaSC #SimbaSC #YangaSimba

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *