Mkazi wa kijiji cha Imalamawazo wilaya ya Chato, amegeuka mkombozi kwa wananchi baada ya kujenga daraja la miti, kutokana na kuchoshwa kuwashuhudia wenzake wakivuka mto kwa kutembea kwenye maji.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
(Feed generated with FetchRSS)