Wakazi wa Karema, wilayani Tanganyika na maeneo ya jirani wamejikuta kwenye adha ya usafiri baada ya kukatika kwa daraja la barabara inayoelekea Mpanda, hali inayowalazimu kutumia mtumbwi kuvuka.

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *