,k

Chanzo cha picha, Getty Images

    • Author, Phil McNulty
    • Nafasi, BBC

Vilabu vyote vya vya Ligi Kuu ya England vimetumia zaidi ya pauni bilioni 2 msimu huu wa joto kusajili wachezaji, na dirisha la usajili litafungwa Jumatatu, 1 Septemba.

Ikiwa imesalia wiki moja, BBC inaangalia usajili wa vilabu sita vikubwa kabla ya tarehe ya mwisho.

Arsenal

d

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, The Gunners walikubali kutoa pauni milioni 60, na nyongeza ya paunili milioni 8 kumsajili Eberechi Eze

Usajili wa Arsenal ulionekana kuhitimika baada ya kumsajili Martin Zubimendi anayecheza safu ya kiungo na mshambuliaji Viktor Gyokeres, lakini hali ilibadilika baada ya jeraha la goti la fowadi Kai Havertz, na kuwafanya The Gunners kumsajili Eberechi Eze kutoka Crystal Palace.

Pia unaweza kusoma

Chelsea

f

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Chelsea wana nia ya kumnunua Xavi Simons wa RB Leipzig

Historia inatuambia lolote linaweza kutokea Chelsea kabla ya tarehe ya mwisho, lakini inaonekana kama kocha Enzo Maresca ana nia ya kuimarisha nafasi za mbele, huku Alejandro Garnacho wa Manchester United na mchezaji wa RB Leipzig Mholanzi Xavi Simons, huenda wakajasiliwa.



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *