Umoja wa Mataifa unasema, watu zaidi ya Laki Tano, wamerejea katika jiji kuu la Sudan Khartoum mwezi Julai, miezi minne baada ya jeshi kulidhibiti.

Umoja wa Mataifa unasema, watu zaidi ya Laki Tano, wamerejea katika jiji kuu la Sudan Khartoum mwezi Julai, miezi minne baada ya jeshi kulidhibiti.