Taasisi za kimataifa ukiwemo Umoja wa Mataifa, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC, Umoja wa Ulaya, Shirika la Wanahabari Wasio na Mipaka (RSF) na hata nchi kadhaa za Magharibi waitifaki wa utawala wa kizayuni wa Israel zimelaani vikali shambulio la kinyama lililofanywa na jeshi la utawala huo katika Hospitali ya Nasser iliyoko Khan Younis katika Ukanda wa Ghaza.
Source link
