Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina J. Mohammed, amewataka viongozi wa kijeshi wa Afrika kushirikiana kwa karibu zaidi ili kukabiliana na ongezeko la vitisho vya usalama, ugaidi na athari za mabadiliko ya tabianchi katika bara hilo.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
