UN yataka nchi za Afrika zishirikiane kijeshi ili kudumisha amaniUN yataka nchi za Afrika zishirikiane kijeshi ili kudumisha amani



Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina J. Mohammed, amewataka viongozi wa kijeshi wa Afrika kushirikiana kwa karibu zaidi ili kukabiliana na ongezeko la vitisho vya usalama, ugaidi na athari za mabadiliko ya tabianchi katika bara hilo.



BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *