Botswana yatangaza dharura ya kiafya huku kukiwa na uhaba mkubwa wa dawaBotswana yatangaza dharura ya kiafya huku kukiwa na uhaba mkubwa wa dawa



Botswana imetangaza dharura ya kiafya huku nchi hiyo ikikabiliwa na upungufu mkubwa wa dawa na vifaa tiba. Uhaba huo umesababisha hospitali na zahanati nchini humo kuhangaika kutibu magonjwa kuanzia shinikizo la damu, kisukari hadi saratani.



BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *