Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) wanafanya mkutano wa dharura leo Jumatatu katika mji wa Jeddah nchini Saudi Arabia kujadili vita vya mauaji ya kimbari vya Israel huko Gaza na kuunganisha misimamo yao kuhusu mauaji yanayofanywa na Israel katika ukanda huo.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
