Araqchi: Hatua ya Australia ya kumfukuza balozi wa Iran ni kutaka kuiridhisha IsraelAraqchi: Hatua ya Australia ya kumfukuza balozi wa Iran ni kutaka kuiridhisha Israel



Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelaani uamuzi wa Australia wa kumfukuza balozi wa Tehran nchini humo kutokana na madai eti ya mashambulizi kwenye vituo vya Kiyahudi, na kueleza kuwa ni kitendo cha kutaka kuiridhisha “serikali inayoongozwa na wahalifu wa kivita.”



BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *