Venezuela imetangaza kuwa imepeleka meli za kivita na ndege zisizo na rubani kwenye eneo lake la maji na kufanya doria kwenye ufuo wa pwani ya nchi hiyo ili kukabiliana na hatua ya Marekani ya kutuma meli kadhaa za kivita katika eneo la Karibea kwa kile ilichodai ni kwa ajili ya kukabiliana na biashara ya madawa ya kulevya na kumshinikiza Rais Nicolás Maduro.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
