Picha ya Max Dowman, Rio Ngumoha na Willian Estevao

Chanzo cha picha, Getty Images/EPA

Maelezo ya picha, Picha ya Max Dowman, Rio Ngumoha na Willian Estevao

    • Author, Mariam Mjahid
    • Nafasi, BBC Swahili

Wachezaji walio na umri mdogo ambao wanapata msaada mkubwa wa mahitaji yao mengi wana uwezo mkubwa wa kufaulu katika mchezo huo, linasema Chama cha Wachezaji Kandanda wa Kulipwa.

Akizungumza baada ya mechi za kwanza za Ligi kuu ya soka Uingereza (Premier League) za vijana wenye vipaji vya Uingereza Max Dowman na Rio Ngumoha wikendi iliyopita, mtendaji mkuu wa PFA Maheta Molango alisema kuwa “utulivu ndio chanzo cha mafanikio”.

Ili kupata kujua walifikaje hapa na walikokulia tuangazie wachezaji walio na umri mdogo kucheza katika ligi kuu ya Uingereza msimu huu…

Pia unaweza kusoma:

1. Ethan Nwaneri (miaka 15 miezi 5 siku 28)

Ethan Nwaneri

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Ethan Nwaneri

Ethan Nwaneri alichipuka na kuweka jina lake kwenye historia ya Ligi Kuu ya kandanda Uingerezaa akiwa na umri wa miaka 15 na siku 181, alipoingia uwanjani mara ya kwanza na kuichezea Arsenal dhidi ya Brentford mnamo Septemba 2022 na kumfanya kuwa mchezaji aliye na umri mdogo kabisa kuwahi kucheza katika ligi kuu ya Uingereza.



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *