Mkuu wa Exxon alitaka hakikisho la usalama kwa mradi wa gesi kutoka kwa rais wa Msumbiji
Afisa Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Exxon, Darren Woods alitaka kuhakikishiwa usalama na rais wa Msumbiji Daniel Chapo kwa mradi wa gesi wa dola bilioni 30 kabla ya kuruhusu mpango huo kuendelea.